1 Kings 11:4

4 aKadiri Sulemani alivyozidi kuzeeka, wake zake wakaugeuza moyo wake kuelekea miungu mingine, na moyo wake haukujitolea kikamilifu kwa Bwana Mwenyezi Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.
Copyright information for SwhKC